суахили

Kimashami, Kamusiya Kigogo-Kiswahili-Kiingerezai, Rugemalira J., 2008

Kimashami, Kamusiya Kigogo-Kiswahili-Kiingerezai, Rugemalira J., 2008.     

Ingawa kuna maandiko kadhaa katika lugha ya Kimashami, kamusi hii ni ya kwanza kuandaliwa kwa lugha hii. Kamusi yenyewe imekusudiwa kukidhi mahitaji ya wasomaji wa aina mbili. Kwanza, kama ilivyokusudiwa katika mpangilio wa Mradi wa Lugha za Tanzania, itakidhi mahitaji ya watafiti wa isimu wanapofanya uchunguzi kwa kulinganisha data za lugha mbalimbali. Pili, katika jitihada za kukuza na kuhifadhi lugha za Tanzania, kamusi hii itakidhi mahitaji ya msomaji wa kawaida, hasa yule ambaye lugha yake ya kwanza au lugha ya kwanza ya wazazi wake ni Kimashami. Inatazamiwa kwamba kamusi hii itaweka msingi wa kutengeneza kamusi sanifu ya Kimashami, na kuimarisha vigezo vya tahijia na maandishi kwa jumla katika lugha hii.

Kimashami, Kamusiya Kigogo-Kiswahili-Kiingerezai, Rugemalira J., 2008
Скачать и читать Kimashami, Kamusiya Kigogo-Kiswahili-Kiingerezai, Rugemalira J., 2008
 

Cimakonde, Kamusi ya Kimakonde Kiingereza Kiswahili, Rugemalira J., 2013

Cimakonde, Kamusi ya Kimakonde–Kiingereza–Kiswahili, Rugemalira J., 2013.     

Lugha ya Kimakonde inazungumzwa na watu zaidi ya milioni moja na nusu hasa katika mikoa ya Lindi na Mtwara, kusini mwa Tanzania, na pia katika mikoa ya kaskazini mwa Msumbiji. Madhumuni ya kamusi hii ni kuwafikia wazungumzaji wa lugha hii na hivyo kutoa mchango katika kuikuza na kuihifadhi. Ni matumaini yetu kuwa mchango huu utatoa changamoto kwa Wamakonde kutaka kuiboresha kamusi hii na kuitumia kuwafunza vijana matumizi makini ya lugha yao. Pia tunatumaini kwamba wazungumzaji wa lugha nyingine nyingi za Tanzania ambazo hazina maandiko yoyote watahamasika na kuanza kazi ya kuziandika lugha hizi.

Cimakonde, Kamusi ya Kimakonde–Kiingereza–Kiswahili, Rugemalira J., 2013
Скачать и читать Cimakonde, Kamusi ya Kimakonde Kiingereza Kiswahili, Rugemalira J., 2013
 

Язык суахили, Петренко Н.Т., 2010

Язык суахили, Петренко Н.Т., 2010.

Основная направленность учебника - лингво-страноведческая. Его задача - дать студентам более глубокие знания по грамматике языка суахили, увеличить их словарный запас, позволить им совершенствовать навыки перевода, устной и письменной речи на материале оригинальных текстов и получить дополнительные сведения об истории, экономике и культуре изучаемого региона.
Учебник предназначен для студентов второго и третьего годов обучения, прошедших подготовку в объеме базовой грамматики языка суахили в тех высших учебных заведениях, где суахили является одной из основных учебных дисциплин.

Язык суахили, Петренко Н.Т., 2010
Скачать и читать Язык суахили, Петренко Н.Т., 2010